Monday, October 29, 2012

Disadvantages Of Being Handsome. Kazi kwenu ma-hb


Disadvantages Of Being Handsome. Kazi kwenu ma-hb

1. Gays- Gay men stare at men the way men stare at women. It's annoying and infuriating and makes me want to fight but I'm not an so i refrain. Either way the worst part about it is gay men staring or trying to talk to you. So when a guy you think is straight glances at your arm or chest. Abomination
2. Older Women- Older women are pushy and aggressive and don't know when to turn it off. The worst part is the boldest ones are the ugliest more condemned cargo. You have a flock of obasanjo looking women constantly making you uncomfortable. The worst is they're openly biased towards you and will talk about you to everyone creating a lot of awkward tension and unwanted attention.

3. Assumed to be a player- Women assume you're a player for no reason. They'll take you less seriously and question your motives the whole time.

4. Jealous Men- The most women think im handsome the more men want to fight or beef me. They constantly think I'm trying to compete with them, and CONSTANTY beefing and fighting are key. What makes it worst is a lot of their girlfriends will try to give them an impression that they like you so that their boyfriend can fight you and she can feel like he loves her more. Men become more preoccupied with you and your motives and life becomes more dramatic and complex.

5. Being called gay- The stereotype in the US is if you're an attractive well dress man you're gay as Americans expect their men to be simple dressers and not good looking.

6. Attracting useless women- Sure you attract more girls, but with the quantity comes a drop in quality. You'll constantly run into useless superficial women with no substance while the ones with substance are not phased or impressed by your looks.

7.Amebor- Everyone's in your business and wants to know who you're sleeping with.

8. Voltrons- You get women that you don't want that won't leave you alone no matter what. They'll stalk your facebook liking everything you do, constantly talk about you, and acting like you're their best friend. A lot of them will being acting like they're your best friend before they tell you their name. You can always find these if they use your name in every sentence while talking to you.

9. Women playing games with your name- lastly, women will use your name to play games. If you joke with one she'll tell everyone you were flirting with her. If you flirt with her she'll tell everyone you guys were 'talking' or 'had something'. If you sleep with one girl, any girl you like they will tell that one girl that you slept with the previous girl. They'll gossip with your name to build themselves up and to tear down your chances with other women out of jealousy.

Like i said, I've probably matured well but it didn't used to be this way. Either way I'm happy with the way I look now

Saturday, October 27, 2012

NICOLAS ANELKA "MTU ASIYE NA MAADUI UJUE NI MSALITI"



UKIONA MTU HANA MAADUI UJUE HUYO NI MSALITI "

A man without enemies is a coward"

Maneno hayo yalisemwa na mkongwe huyo mfaransa mwenye umri wa miaka 33 sasa,kutokana na lawama na kukoselewa kwake kwa kitendo chake cha kutupa kapuni chelsea na kukimbilia china club ya shanghai shenhua.

 Nicolas Anelka - Shanghai Shenhua

Nicholas Anelka alifikia hatua ya kutoa kauli hiyo kutokana na utata wa watu wengi kulaumu kitendo chake cha kuhama ligi kubwa za ufaransa,spain na uingereza na kuamua kukimbilia nchini china,alisema wala sijali jinsi watu wanavyoichulia hatua hii ikiwa kama napata kipato kikubwa tu hapa shanghai chenhua na naweza au nmeweza kutimiza malengo yangu ambayo ilikuwa ni ndoto yangu na nina fahari katika fani yangu hii ya mpira na wala sijutii mtu usipokuwa na maadui basi ujue wewe ni msaliti nawazungumzia wale ambao wananizungumzia mimi bila hata kunitambua hadi inafika hatua ya vyombo vya habari kuzungumzia masuala yangu alikaririwa na Le Parisien.

"You worry about your salary and I'll worry about mine. Everyone has their worth. I've worked very hard for a long time to earn that money. My track record is there to remind those who've forgotten. Not all of that money has been spent buying cars and luxury handbags. I have a lot of friends and a big family. I enjoy helping all of them.

Aliendelea kuwadis wanaomshambulia kuwa inatakiwa wahofie vipato vyao na mimi nihofie changu,huku akiongeza kuwa nazungumza kifaransa,kiingereza,kihispain na sasa najifunza kichina naweza kujitambulisha popote duniani

Hakuishia hapo tu aliongeza kwa kusea tangia nipo mdogo nilikuwa napenda sana tamaduni za kichina na ndo maana niliikubali mara moja ofa hii ya shenghai shenhua ingawa suala la kifedha nalo lilinichochea.

Mchezaji huyo katika maisha yake amewahi kuichezea timu ya Paris sain Germain,Asernal,Real madrid,liverpool,Mancity na Chelsea  

 

OBAMA AHOFIA MWANAWE MALIA OBAMA KUWA FACEBOOK

OBAMA AHAOFIA MTOTO WAKE MALIA OBAMA KUWEKO FACEBOOK NA KUENDESHA GARI

Katika kile ambacho kinaonyesha ni mbadiliko ya sayansi na tecklojia yakiingiliwa na mambo ya kisiasa na sera za democratic,ijumaa iliyopita President barack obama alionyesha kuwa na wasiwasi kuhusiana na usalama wa bint yake huyo wa kwa kwanza Malia obama kwa kitendo chake cha kujiunga ama kuwa na account ya facebook aka social network au mtandao wa kijamii na pia kitendo chake cha ku hang out huku akiendesha gari lake barabarani yeye mwenyewe barabarani.

Alikaririwa akisema maneno hayo akihojiwa na television ya MTV na Mr Interviewer Sway Calloway ,kwamba suala hilo la mwanangu kikweli halihusiani na masuala ya kisiasa yaliyoko sasa hivi, lakini nina hofu kidogo suala la mwanangu kuwa fb,kuendesha gari mwenyewe au ku date na wanaume ingawa naweza kusema kwa sasa amekuwa anaweza kufanya maamuzi yake mwenyewe na kumchagua mtu ambaye yeye anaona anamfaa,huku akionyesha tabasamu kimsisitizo kuwa anaweza kuwa na mvulana ambaye atathamini,kumheshimu na kumtambua thamani yake.Aliongeza kwa kusema swala hilo ni sawa kwa sababu kama mtoto wa Rais ana chombo chake cha usiri na ulinzi (Secret Service protection,"Secret Service protection,") ambacho kinashughulikia mambo yake,aliongeza pia na kusema suala la yeye kuendesha tu ambaye inatakiwa kuhofu ni mzazi na kama unavyojua muda si mrefu wataondoka nyumbani kwangu kama familia na kuanzusha familia zao.

Kipindi hiko cha nusu saa katika wwebsite ya MTV kilikuwa moja kati ya interview kumi ambazo alifanya obama ijumaa iliyopita.

"She can make her own decisions obviously later as she gets older, but right now, even just for security reasons, she doesn't have a Facebook page. Dates, that's fine, 'cause she's got Secret Service protection," he added with a smile. Obama said he hoped his girls would date "boys who respect them and value them and understand their worth.""She can make her own decisions obviously later as she gets older, but right now, even just for security reasons, she doesn't have a Facebook page. Dates, that's fine, 'cause she's got Secret Service protection," he added with a smile. Obama said he hoped his girls would date "boys who respect them and value them and understand their worth.""She can make her own decisions obviously later as she gets older, but right now, even just for security reasons, she doesn't have a Facebook page. Dates, that's fine, 'cause she's got Secret Service protection," he added with a smile. Obama said he hoped his girls would date "boys who respect them and value them and understand their worth."
























In this handout form the White House, (L to R) U.S. President Barack Obama, daughter Malia Obama, first lady Michelle Obama and daughter Sasha Obama sit for portrait in the Green Room of the White House September 1, 2009 in Washington, DC. (Photo by Annie Leibovitz/White House via Getty Images)

Tuesday, October 23, 2012

NAPE APOKELEWA KWA SHANGWE MKUTANO WA UVCCM DODOMA.


NAPE APOKELEWA KWA SHANGWE MKUTANO WA UVCCM DODOMA.

NA MWANDISHI WETU

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye, amenogesha Mkutano mkuu wa nane wa Umoja wa Vijana wa CCM, UVCCM unaoendea mjini  Dodoma.

Licha ya viongozi wengi kushangiliwa wakati wa kuingia ukumbini, nderemo na shamaramshamra zililipuka zaidi kutoka kwa wajumbe wa Mkutano huo wakati Nape alipotangazwa kuwasili.

"Jembe, jembe, jembe", wajumbe walisikika wakilipuka na kumshangilia baada ya Mkuu wa Umahasishaji na Chipukizi wa UVCCM, Esther Bulaya alipotangaza kuwasili kwa Nape ukumbini.

Ukumbi ulilipuka zaidi Nape alipopanda jukwaani na kuliungurumisha gita zito la besi, wakati Bendi ya Vijana Jazz ilipokuwa ikitumbuiza wimbo maalum, baada ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kuwasili ukumbini.

Viongozi wengine walioonyesha kuwakuna wajumbe wa mkutano huo wa vijana ambao ni wa Uchaguzi Mkuu ni pamoja, na Mbunge wa Bumbuli Januari Makamba, Katibu wa NEC Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba na Katibu wa NEC Oganaizesheni, Asha Abdallah Juma.

Baada ya mkutano kufunguliwa na Rais Kikwete, uchaguzi uliendelea ambapo leo, wanatarajiwa kupatika viongozi wapya wa UVCCM ngazi ya Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Ujumbe wa Baraza Kuu UVCCM na wawakilishi kwenye jumuia zingine.

Katika nafasi ya Uwenyekiti ushindani ulihamia kwa wagombea wawili Msaraka Rashid Simai, Khamis Sadifa Juma baada ya mgombea mwingine Abdallah Lulu Mshamu kujitoa wakati wa kujieleza kwa wajumbe ukumbini.

Nafasi ya Makamu Mwenyekiti wamechuana Ally Salum Hapi, Paul Christian Makonda Mboni Mohamed Mhita wakati nafasi zingine ni, Halmashauri Kuu ya Taifa Viti sita (Bara) wagombea 40, Viti Vinne (Zanzibar) wagombea 22, Nafasi ya Baraza Kuu la Vijana Taifa Viti vitano Bara wagombea 39 na viti vitano Zanzibar wagombea 14, Uwakilishi Wazazi Taifa na Jumuia ya Wanawake Tanzania (UWT) wagombea 16 kila nafasI.

Monday, October 22, 2012

Kuanzia sasa tutaingilia maandamano yoyote ya kuhatarisha amani. Hatuna mzaha na usalama wa taifa – JWTZ



Kuanzia sasa tutaingilia maandamano yoyote ya kuhatarisha amani. Hatuna mzaha na usalama wa taifa – JWTZ

JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limewataka wananchi kuepuka vurugu zinazohatarisha usalama, na kulinda amani iliyopo nchini
Advertisement
JWTZ imetoa kauli hiyo siku moja baada ya waumini wa dini ya Kiislamu jijini Dar es Salaam kuandamana sababu ya malalamiko kadhaa kama kukamatwa kwa Sheikh Issa Ponda na wafuasi wake 49 wiki iliyopita kwa tuhuma mbalimbali, kutoweka kwa kiongozi wa UAMSHO Sheikh Amir Farid Hadi, na malalamiko mengine.
Msemaji wa JWTZ, Kanali Kapambala Mgawe, amesema hatua ya wanajeshi kujitokeza katika kuzima vurugu zilizotokea jijini juzi, ilikua na lengo la kuwaonyesha wananchi kwamba JWTZ ipo kikazi zaidi, na anayetaka vurugu atashughulikiwa kisheria.
“Juzi tulionyesha ‘talent show force’ ili watujue kama tupo kazini, hata kama wametuona tupo kimya, hatuna mzaha katika kulinda na kusimamia ulinzi na usalama wa taifa hili, kwa hiyo tulikuwa kwenye sehemu ya utekelezaji wa majukumu yetu, na kwamba atakayekwenda kinyume tutamshughulikia,” alisema Mgawe.
Alisema zoezi hilo litaendelea kwa maandamano yoyote yatakayoonyesha dalili za kuhatarisha usalama wa nchi. Aliongeza kwamba wanajeshi watashiriki kikamilifu ili kuhakikisha kuwa wananchi wanafuata sheria na taratibu zilizopangwa, bila ya kuathiri usalama wa nchi.
Alisema kwa sasa wanasubiri kibali cha polisi cha kuhusu kuhitaji msaada ili waweze kuungana nao katika kushughulikia maandamano yenye lengo la kuhatarisha amani na utulivu.
“Tunawataka wananchi kufuata sheria na taratibu zilizopo na kuepuka kuhatarisha amani ya nchi, kama wanataka tuingie kazini tutafanya hivyo, ila tunachowaasa ni kufuata taratibu zilizopo,” alisisitiza.
Katika vurugu za juzi, watu 53 walitiwa mbaroni kwa tuhuma za kushiriki kwenye maandamano.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, watu hao watafikishwa mahakamani Oktoba 22 mwaka huu.
5704526 orig Kuanzia sasa tutaingilia maandamano yoyote ya kuhatarisha amani. Hatuna mzaha na usalama wa taifa   JWTZ
Msemaji wa JWTZ, Kanali Kapambala Mgawe (File photo from Mdimuz blog)

Saturday, October 20, 2012

UJUE MSIMAMO WA CHADEMA KUHUSIANA NA SUALA LA SHEKHE PONDA NA FARIDI



 CHADEMA waweka bayana msimamo wao juu ya yaliowasibu ma-shiekh Ponda na Farid


Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimekutana na waandisihi wa habari makao makuu ya chama hicho jijini Dar es Salaam leo, ambapo wajumbe wa Kamati Kuu, Profesa Abdallah Safari na Mabere Marando, wameweka waziwazi msimamo wa chama hicho kuhusiana na mgogoro kati ya waislamu na serikali na kukamatwa kwa Sheikh Farid huko Zanzibar.

Wanasheria hao wa CHADEMA wamesema kuwa kitendo cha serikali kumnyima dhamana Sheikh Ponda ni kinyume cha katiba na kwamba Chadema kama chama kinachojiandaa kuchukua dola, hakiwezi kuvumilia kuona haki za raia zikivunjwa.

“Tunaweza kuwa miongoni mwetu, wapo watu wanaomchukia Sheikh Ponda, lakini hatuwezi kuficha ukweli kwamba Sheikh Ponda kama raia wa Jamhuri ya Muungano au mkazi wa Jamhuri hii, anayo haki ya kusikilizwa na kupewa dhamana. Makosa ambayo Sheikh Ponda ameshitakiwa yanadhaminika kwa mujibu wa sheria, hivyo ni makosa kwa serikali kufanya hila kumnyima dhamana kiongozi huyu wa kidini,” ameeleza Marando katika mkutano huo.

Marando alifika mbali zaidi kwa kusema tatizo lililopo sasa kati ya serikali na waislamu, limetokana na hatua ya serikali kuwalazimisha waislamu wote kuwa waumini wa Bakwata, chombo ambacho wengi wanakiona kinatumika kuwakandamiza.

Naye Profesa Safari alionya matumizi ya nguvu za kijeshi yanayotumiwa na serikali kwa kisingizio cha kulinda amani, huku akieleza kuwa matumizi ya kijeshi siyo suluhu ya kutatua matatizo yaliopo.

Kuhusu kukamatwa kwa Sheikh Faridi na kumzuia kwa siku tatu, wanasheria hao wamesisitiza kuwa kitendo hicho hakikubaliki.

“Kitendo cha kumkamata na kumshikiria Sheikh Faridi, huku serikali na vyombo vyake vikisema havihusiki, wakati ukweli ni kuwa alikuwa anashikiliwa na watu wa USALAMA wa TAIFA, ni uharamia mkubwa unaopaswa kulaaniwa na wote wanaolitakia mema taifa hili,” ameeleza Marando.

Kuhusu uvunjwaji wa makanisa, Profesa Safari amesema CHADEMA kimelaani hatua hiyo iliyotokana na wananchi kujichukulia sheria mkononi. Amewataka waislamu kuvuta subira.

Hata hivyo, Profesa Safari amesena matatizo yanayotokea sasa, yameletwa na CCM kutokana na hatua yao ya kuwatumia baadhi ya waislamu kupandikiza mbegu ya udini nchini.

Chanzo Chadema Blog

40 Mistakes Men Do While Having Sex



40 Mistakes Men Do While Having SeX

1) NOT KISSING FIRST.
Avoiding her lips and diving straight for the erogenous zones makes her feel like you're paying by the hour and trying to get your money's worth by cutting out nonessentials. A proper passionate kiss is the ultimate form of foreplay.

2) BLOWING TOO HARD IN HER EAR.
Admit it, some kid at school told you girls love this. Well, there's a difference between being erotic and blowing as if you're trying to extinguish the candles on your 50th birthday cake. That hurts.

3) NOT SHAVING.
You often forget you have a porcupine strapped to your chin which your rake repeatedly across your partner's face and thighs. When she turns her head from side to side, it's not passion, it's avoidance.

4) SQUEEZING HER BREAST.
Most men act like a housewife testing a melon for ripeness when they get their hand on a pair. Stroke, caress, and smooth them.

5) BITING HER NIPPLES.
Why do men fasten onto a woman's nipples, then clamp down like they're trying to deflate her body via her breasts? Nipples are highly sensitive. They can't stand up to chewing. Lick and suck them gently. Flicking your tongue across them is good. Pretending they're a dogie toy, isn't.

6) TWIDDLING HER NIPPLES.
Stop doing that thing where you twiddle the nipples between finger and thumb like you're trying to find a radio station in a hilly area. Focus on the whole breasts, not just the exclamation points.

7) IGNORING THE OTHER PARTS OF HER BODY.
A woman is not a highway with just three turnoffs: Breastville East and West, and the Midtown Tunnel. There are vast areas of her body which you've ignored far too often as you go bombing straight into downtown Vagina. So start paying them some attention.

8) GETTING THE HAND TRAPPED.
Poor manual dexterity in the underskirt region can result in tangled fingers and underpants. If you're going to be that aggressive, just ask her to take the damn things off.

9) LEAVING HER A LITTLE PRESENT.
Condom disposal is the man's responsibility. You wore it, you store it.

10) ATTACKING THE CLITORIS.
Direct pressure is very unpleasant, so gently rotate your fingers along side of the clitoris.

11) STOPPING FOR A BREAK.
Women, unlike men, don't pick up where they left off. If you stop, they plummet back to square one very fast. If you can tell she's not there,keep going at all costs, numb jaw or not.

12) UNDRESSING HER AWKWARDLY.
Women hate looking stupid, but stupid she will look when naked at the waist with a sweater stuck over her head. Unwrap her like an elegant present, not a kid's toy.

13) GIVING HER A WEDGIE DURING FOREPLAY.
Stroking her gently through her panties can be very sexy. Pulling the material up between her thighs and yanking it back and forth is not.

14) BEING OBSESSED WITH THE VAGINA.
Although most men can find the clitoris without maps, they still believe that the vagina is where it's all at. No sooner is your hand down there than you're trying to stuff stolen banknotes up a chimney. This is okay in principle, but if you're not careful, it can hurt so don't get carried away. It's best to pay more attention to her clitoris and the exterior ofher vagina at first, then gently slip a finger inside her and see if she likes it.

15) MASSAGING TOO ROUGHLY.
You're attempting to give her a sensual, relaxing massage to get her in the mood. Hands and fingertips are okay; elbows and knees are not.

16) UNDRESSING PREMATURELY.
Don't force the issue by stripping before she's at least made some move toward getting your stuff off, even if it's just undoing a couple of buttons.

17) TAKING YOUR PANTS OFF FIRST.
A man in socks and underpants is a at his worst. Lose the socks first.

18) GOING TOO FAST.
When you get to the penis-in-vagina situation, the worst thing you can do is pump away like an industrial power tool - she'll soon feel like an assembly-line worker made obsolete by your technology. Build up slowly,with clean, straight, regular thrusts.

19) GOING TOO HARD.
If you bash your great triangular hip bones into her thigh or stomach, the pain is equal to two weeks of horseback riding concentrated into a few seconds.

20) COMING TOO SOON.
Every man's fear. With reason. If you shoot before you see the whites of her eyes, make sure you have a backup plan to ensure her pleasure too.

21) NOT COMING SOON ENOUGH.
It may appear to you that humping for an hour without climaxing is the mark of a sex god, but to her it's more likely the mark of a numb vagina. At least buy some intriguing wall hangings, so she has something to hold her interest while you're playing Marathon Man.

22) ASKING IF SHE HAS COME.
You really ought to be able to tell. Most women make noise. But if you really don't know, don't ask.

23) PERFORMING ORAL SEX TOO GENTLY.
Don't act like a giant cat at a saucer of milk. Get your whole mouth down there, and concentrate on gently rotating or flicking your tongue on her clitoris.

24) NUDGING HER HEAD DOWN.
Men persist in doing this until she's eyeball-to-penis, hoping that it will lead very swiftly to mouth-to-penis. All women hate this.It's about three steps from being dragged to a cave by their hair. If you want her to use her mouth, use yours; try talking seductively to her.

25) NOT WARNING HER BEFORE YOU CLIMAX.
Sperm tastes like sea water mixed with egg white. Not everybody likes it.When she's performing oral sex, warn her before you come so she can do what's necessary.

26) MOVING AROUND DURING FELLATIO.
Don't thrust. She'll do all the moving during fellatio. You just lie there. And don't grab her head.

27) TAKING ETIQUETTE ADVICE FROM PORN MOVIES.
In X-rated movies, women seem to love it when men ejaculate over them.
In real life, it just means more laundry to do.

28) MAKING HER RIDE ON TOP FOR AGES.
Asking her to be on top is fine. Lying there grunting while she does all the hard work is not. Caress her gently, so that she doesn't feel quite so much like the captain of a schooner. And let her have a rest.

29) ATTEMPTING ANAL SEX AND PRETENDING IT WAS AN ACCIDENT.
This is how men earn a reputatio n for not being able to follow directions. If you want to put it there, ask her first. And don't think that being drunk is an excuse.

30) TAKING PICTURES.
When a man says, 'Can I take a photo of you?' she'll hear the words '__to show my buddies.' At least let her have custody of them.

31) NOT BEING IMAGINATIVE ENOUGH.
Imagination is anything from drawing patterns on her back to pouring honey on her and licking it off. Fruit, vegetables, ice and feathers are all handy props; hot candle wax and permanent dye are a no no.

32) SLAPPING YOUR STOMACH AGAINST HERS.
There is no less erotic noise. It's as sexy as a belching contest.

33) ARRANGING HER IN STUPID POSES.
If she wants to do advanced yoga in bed, fine, but unless she's a Romanian gymnast, don't get too ambitious. Ask yourself if you want a sexual partner with snapped hamstrings.

34) LOOKING FOR HER PROSTATE.
Read this carefully: Anal stimulation feels good for men because they have a prostate. Women don't.

35) GIVING LOVE BITES.
It is highly erotic to exert some gentle suction on the sides of the neck, if you do it carefully. No woman wants to have to wear turtlenecks and jaunty scarves for weeks on end.

36) BARKING INSTRUCTIONS.
Don't shout encouragement like a coach with a megaphone. It's not a big turn-on.

37) TALKING DIRTY.
It makes you sound like a lonely magazine editor calling a 1-900 line. If she likes nasty talk, she'll let you know

38) NOT CARING WHETHER SHE COMES.
You have to finish the job. Keep on trying unt il you get it right, and she might even do the same for you.

39) SQUASHING HER.
Men generally weigh more than women, so if you lie on her a bit too heavily, she will turn blue.

40) THANKING HER.
Never thank a woman for having sex with you.Your bedroom is not a soup kitchen.

Friday, October 19, 2012

ALHAJ DIOUF AMSHUTUMU GERALD KUWA NI MCHOYO NA MBINAFSI

DIOUF AMSHUTUMU STEVEN GERALD NI MCHOYO(MBINAFSI)

Mchezaji huyo ambaye ni msenegali aliyewahi kutamba miaka ya 2002 katika mataifa huru afrika nchini Mali kwa sasa akiwa na umri wa miaka 32,amemshutumu mchezaji ambaye ni captain wa england na timu yake ya liverpool kuwa alikuwa ni mbinafsi na alikuwa anamuonea wivu kipindi diouf akichezea Anfield.Diouf alikaririwa akitoa kauli hiyo alipokuwa anahojia na gazeti la kifaransa L’Equipe kwamba kipindi niko liverpool gerald alikuwa ananionea wivu na mchezaji ambaye ni mbinafsi,yeye hajali matokeo ya timu anachojali ni uchezaji wake tu uwanjani kama katupia magoli mangapi na n.k.

"There's no one more selfish, he doesn't care about anyone else. Gerrard rather Liverpool lost and he scored. 

Diouf alitumia miaka mitatu Anfield kabla hajaenda Bolton wanderers 2005 na kuelekea timu ya reebok kwa mkopo


Hadji Diouf - Leeds United

SIMEONE :FALCAO NI MCHEZAJI BORA STRIKER 9 DUNIANI


Ramadel Falcao mchezaji wa Atletico Madrid mwenye umri wa miaka 26, kwa sasa ameonyesha kuwa ni chezaji matata na machachari katia la liga na michuano ya barani amerika kusini ya kufuvu kombe la dunia.Falcao kwa sasa ameshaingiza kimyani goli sita tayari katika mechi za ligi na ushindi wa goli 2,goli zote zikiwa zimefungwa na yeye mechi ambayo nchi yake paraguay ilishinda goli hizo ijumaa iliyopita.
Falcao kwa sasa ni mchezaji bra namba 9 duniani,maneno hayo yalisemwa na kocha meneja mu agentina wa atletico diego simeone,alikaririwa akisea nadhani ataendelea na mlari huu wa kupachika magoli kwa sababu ana usongo wa kuwa mchezaji bora kabisa klabuni kwake na duniani kiujumla,na kwa sasa ni striker bora kabisa duniani "He is definitely the best No.9 in the world."
Falcao ambaye kama mkataba wake haukuongezwa kuna uwezekano mkubwa wa timu kubwa duniani kumchukuwa chezaji huyo kutokana na mawakala wengi kutangaza interest zao,timu kama chelsea,real madrid na timu za italia zimeonyesha dalili hizo


 Radamel Falcao - A. Madrid

Wednesday, October 17, 2012

TAMBUA JINSI OBAMA ALIVYOSHINDA DEBATE YA PIL



How Obama Won the Second Debate

Here I am on video discussing how Barack Obama, after roundly losing the first presidential election debate, triumphed in the second, with clips from the debate illustrating my points. The president got Mitt Romney off balance early and kept him on the defensive, and then Romney had his own big unforced error talking about Benghazi. By the closing answers, Romney sounded weak and petulant, Obama confident and strongly on message, I thought.
This follows my earlier written commentary on who won the debate in terms of exhibiting presidential temperament.

Obama And Romney Square Off In Second Presidential Debate

Getty Images Barack Obama And Mitt Romney Participate In Second Presidential Debate

UJIO MPYA WA 50CENTS NI NOUMAH NI KATIKA SPORTS PROMOTION


HII NYIMBO BADO NI MPYA,PATA NA LYRICS ZAKE HAPA HAPA




KILICHOSABABISHA MAUAJI YA BARLOW CHABAINIKA




YADAIWA NI KISASI CHA MAPENZI, MTUHUMIWA ATIWA MBARONI, DK BILAL AONGOZA WAOMBOLEZAJI DAR
Waandishi Wetu
MWELEKEO wa upelelezi wa mauaji ya aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Liberatus Barlow umebadilika na sasa tukio hilo linahusishwa na kisasi cha mapenzi na tayari mtu mmoja anayedaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi Mwalimu Dorothy Moses kutiwa mbaroni na polisi.Awali, ilidaiwa kwamba Kamanda Barlow ambaye aliuawa kwa risasi usiku wa kuamkia Jumamosi muda mfupi baada ya kumfikisha mwalimu huyo nyumbani kwake, alivamiwa na majambazi.
Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai, DCI, Robert Manumba alithibitisha jana kukamatwa kwa mtu huyo (jina tulihifadhi) akisema: “Ni kweli mtu mmoja amekamatwa, lakini kwa sasa siwezi kuzungumzia kwa kina kuhusu suala hilo kwa sababu bado tunamhoji na tunaendelea na uchunguzi. Tutakapokamilisha, tutatoa taarifa.”
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Lily Matola pia alithibitisha kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo. Hata hivyo, alisema amesikia habari hizo kwa kuwa yuko safarini kwenda mkoani Kilimanjaro kwenye mazishi ya kamanda huyo... “Hayo nimesikia, lakini kwa sasa sipo Mwanza hivyo siwezi kuzungumzia lolote.”
Habari za uhakika kutoka ndani ya Jeshi la Polisi, zinaeleza kwamba upelelezi wa mauaji hayo umefanikiwa kwa hatua kubwa na kwamba mtu huyo alikamatwa Dar es Salaam baada ya kuwekewa mtego na makachero waliopo katika timu ya uchunguzi na alisafirishwa hadi Mwanza ambako anashikiliwa na jeshi hilo.
Ilielezwa kuwa mtu huyo alikamatwa kutokana na kuwapo kwa taarifa za siri za kiitelejensia kutoka kwa watu mbalimbali.
“Kuna hali imefunguka na imesaidia sana. Inaonyesha kwamba Dorothy alikuwa na uhusiano na mtu huyu ambaye alikuwa akifika nyumbani kwake, kama mumewe na watu wanajua jambo hili,” alieleza mmoja wa askari polisi ambaye hakutaka jina lake litajwe gazetini.
Alisema kwamba uchunguzi wa awali unaonyesha kwamba uamuzi wa mwalimu huyo kusitisha uhusiano wa mapenzi na mtu huyo huenda ndicho chanzo cha mauaji hayo lengo likiwa ni kumshawishi Dorothy kurejesha uhusiano.
“Mimi natambua kwamba huyu jamaa na Dorothy walikuwa na uhusiano na inajulikana mjini kuwa hata mke wa mtuhumiwa anatambua jambo hilo kwani walishagombana siku moja mjini na hata katika msiba nyumbani kwao na mtuhumiwa,” alisema mama mmoja (jina tunalo), aliyejitambulisha kama mmoja wa marafiki wa karibu wa Dorothy.
Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Kitangiri (jina tunalo), anasema amekuwa akimfahamu mtuhumiwa aliyekamatwa kama baba mwenye nyumba hiyo na kila mara amekuwa akimkuta hapo nyumbani wakati wa kujisomea na wanafunzi wenzake.
“Mimi ninamfahamu kama baba wa rafiki yangu na nimewahi kumkuta wakati wa kujisomea hapo nyumbani na watoto wa nyumba hiyo.”
Dorothy ambaye ametajwa kuwa mjane, ni Mwalimu katika Shule ya Msingi Nyamagana na tangu kufariki kwa mumewe Ofisa wa zamani wa TRA, Modest Lyimo mwaka 1997.
“Watu wote wanajua kwamba mtuhumiwa alikuwa akitembea na huyo mwalimu, wameonekana mara nyingi wakiwa muziki,” alieleza mmoja wa ndugu wa karibu wa mke wa mtuhumiwa.
Hili ni tukio la tatu mkoani Mwanza kutokea kwa ofisa wa polisi kuuawa. Katika tukio la awali lililotokea mwaka 1987, askari aliyetambulika kwa jina la Inspekta Gamba aliuawa kwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi eneo la Nyakato na katika tukio la pili mwaka 1997, aliyekuwa Mkuu wa Kituo cha Kati ASP Mahende aliuawa kwa kupigwa risasi eneo la Bugando saa nne usiku alipokuwa akifuatilia majambazi waliokuwa wakijitayarisha kuvamia.
Dar wamuaga Kamanda Barlow
Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal aliongoza waombolezaji waliofika kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Barlow nyumbani kwake, Ukonga Dar es Salaam jana.
Mwili wa Kamanda Barlow ambao unasafirishwa leo kwenda mkoani Kilimanjaro kwa mazishi, uliwasili nyumbani kwake saa 6.45 kabla ya kupelekwa katika Kanisa la Mtakatifu Agustino, Ukonga kwa ajili ya ibada na kutoa heshima za mwisho.
Akitoa salamu za Serikali, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Silima alisema kifo cha Kamanda Barlow ni pengo kwa taifa... “Tutahakikisha watuhumiwa wanapatikana kwa mikono yote miwili na hatua za kisheria zinachukuliwa dhidi yao.”
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Said Mwema alisema juhudi za kuwasaka watuhumiwa zinaendelea kwa ushirikianao wa wananchi.
“Kifo cha Kamanda Barlow kimeacha pengo kwani hivi sasa askari mmoja analinda watu 1,300 hivyo kwa kifo chake unaweza kuona ni pengo la aina gani na ukilinganisha yeye alikuwa kamanda wa mkoa mzima,” alisema IGP Mwema.
Alisema jeshi lake litaendelea kulinda amani ya wananchi na kifo cha Kamanda Barlow kinalifanya liongeze nguvu.
Akitoa mahubiri, Padri Veri Urio alisema kila jambo hutokea kwa wakati na kifo cha Kamanda Barlow kimesababishwa na watu. Alisema mwenye mamlaka ya kuondoa uhai wa mtu ni Mungu pekee hivyo waliosababisha kifo chake siku ikifika, watajibu kwa nini walifanya hivyo.
IGP Mstaafu, Omary Mahita alisema atamkumbuka Kamanda Barlow kwa uchapaji wake kazi tangu akiwa polisi Interpol (polisi kimataifa)alifanya kazi kwa weledi uliotukuka.
“Daima nitamkumbuka kwani nimefanya naye kazi sehemu tofauti na askari waliobaki waige mfano wake wa uwajibikaji” alisema Mahita.
Mbali ya Dk Bilal, viongozi wengine walioshiriki katika ibada hiyo jana ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki, makamanda wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), makamanda wa polisi, viongozi wa Serikali na vyama vya siasa na wananchi.
Imeandikwa na Frederick Katulanda, Mwanza na Ibrahim Yamola, Dar.
Chanzo: www.mwananchi.co.tz

MATOKEO YA KUWANIA KUCHEZA FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA EUROPE NA AMERICA KUSINI





Monday, October 15, 2012

ETI WEMA SEPETU NA AUNT EZEKIL WAOMBA MSAMAHA

Aunt Ezekiel & Wema Sepetu wawaomba msamaha Watanzania na Dunia kwa ujumla kwa kitendo chao cha kuvaa mavazi ya kudhalilisha

 Wema Sepetu na Aunt Ezekiel walipokutana na waandishi wa habari leo
Aunt Ezekiel
Wema
 Wema Sepetu na Aunt Ezekiel walipokuwa jukwaani katika tamasha la Fiesta mjini Dodoma

Mwigizaji wa filamu za kitanzania maarufu Bongo Movie, Aunt Ezekiel amejitokeza mbele ya jamii na kuomba radhi juu ya kitendo cha kuonyesha nguo za ndani katika tamasha la muziki lililofanyika mjini Dodoma.
Akizungumza na waandihsi wa habari leo asubuhi mjini Dar es Salaam, Aunt Ezekiel ambae alitakiwa kuandamana na msanii mwenzie walioshiriki pamoja katika tamasha hilo la Fiesta Wema Sepetu ambae hakufika kutokana na sababu ambazo hazikuwekwa wazi alisema anaiomba radhi jamii ya watanzania kwani ilikuwa mara yao ya kwanza kushiriki tamasha lile na hakujua urefu wa jukwaa na aina ya mavazi yatakayoweza kuwasitiri maungo yao tofauti na wasanii wa kike wa muziki ambao walionekana kutambua matamasha hayo hivyo kuweza kujisitiri vizuri.
“Unajua ile ni mara yetu ya kwanza wasanii wa Bongo Movie kushirikishwa katika tamasha la Fiesta, hivyo hatukujua kama majukwaa yanayotumiaka ni marefu sana kiasi mtu akiwa chini anaweza kuona nguo yako ya ndani na kukufanya uonekane muhuni wakati sivyo ilivyo,” alisema Aunt Ezekiel kwa huzuni.
Hata hivyo wakati akijibu maswali ya waandishi wa Habari Ezekiel alionekana kubabaika baada ya Kidojembe kumuuliza kuwa anakunywa pombe na  kujikuta anakiri mbele ya wanahabari kuwa alikuwa amekunywa pombe siku ya tukio hivyo kutotambua alichokifanya. Lakini baada ya kuulizwa na Hemed Kivuyo kutoka Radio One, juu ya hali ya ulevi Aunt Ezekiel alipinga kusema alikuwa amelewa.
“Naomba ieleweke, niliulizwa hapa kama nakunywa nikajibu nakunywa, na nilipoulizwa tena kuwa siku ya tukio nilikunywa nikakiri nilikunywa lakini hakuna mahali niliposema nimelewa. Nakiri siku hiyo nilikunywa lakini sikuwa nimelewa,” alisisitiza Aunt.
“Ndugu waandishi wa habari pamoja na yaliyotokea tunachukua fursa hii kuomba msamaha kwa wizara ya habari utamaduni na michezo, shirikisho la filamu Tanzania, Bongo Movie Club na wadau wake, familia zetu na jamii kwa ujumla kutokana na picha zilizopigwa tukiwa katka tamasha la Fiesta mjini Dodoma ambazo zimesambazwa katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii,” aliongeza Aunt Ezekiel kwa niaba ya msanii mwenzie Wema Sepetu.
Hata hivyo mwigizaji huyo maarufu kwa kuvaa viguo vifupi aliweka wazi kuwa hatoacha kuvaa viguo vifupi ingawa hatofanya hivyo katika hadhara bali atakuwa anaonyesha akiwa katika filamu tu.
“Mimi ni mwigizaji, zipo aina ya filamu zinakutaka kuvaa nguo fupi siwezi kuacha lazima nifuate agizo la mwongozaji filamu hii ni kazi yangu. Naomba msamaha katika jamii lakini naomba niweke wazi kuwa sitoacha kuvaa nguo fupi,” Aunty.
Wakati akimalizia mkutano huo katibu wa shirikisho la filamu Tanzania Wilson Mwakume, alisema kuwa Aunt Ezekiel amekwazwa sana na tukio hilo hasa ikizingatiwa mwezi ujao anategemea kufunga ndoa na mchumba wake, hivyo familia ya mchumba wake imejisikia vibaya baada ya kuona picha zile katika vyombo vya habari. Na shirikisho lao lilipokaa katika kikao cha nidhamu waliwaita wasanii hao na kuwataka waiombe radhi jamii na kuahidi kutorudia kitendo hicho cha aibu.

let me love u...............


INIESTA ASEMA ANAMKUBALI RONALDO KATIKA KUMPATA MCHEZAJI BORA

INIESTA AMCHAGUA MCHEZAJI BORA(KAMILI)

Andrews iniesta mbarauregrana na kiungo wa timu ya spain ambaye kwa sasa anashikilia record ya mchezaji bora wa ulaya leo akiwa anahojiwa na Marca en zona,anaamini kwa kuwa kwa sasa mchezaji perfect atapatikana kwa kumchua Ramadel Falcao striker wa Atletico madrid,Christiano Ronaldo wa real madrid na baadhi ya timu ya barca.
Alikaririwa akisema kuwa mchezaji bora atapatikana kwa kuchanganya uwezo wa Falcao hewani,haiba ya Puyol uwanjani,mkuu wa kulia wa Xavi n,kipaji cha Lionel mess na mguu wake wa kushoto,uwezo wa kimbinu wa Sergio Basquites uwanjani bila kusahau jicho la Chrisiano Ronaldo golini."The perfect player? Falcao's ability in the air, [Carles] Puyol's personality, Xavi's right foot, [Lionel] Messi's talent and left foot, [Sergio] Busquets' tactical awareness and Cristiano's eye for goal," Iniesta stated to Marca en zona.
Iniesta aliendelea kumpa sifa kem kem muargentina Lionel mess kuwa hajawahi kumuona mchezaji mwenye vipaji tele na sifa nyingi za kusakata kabumbu duniani ,najisikia furaha sana kucheza timu moja na lionel messi huku tukitwaa vikombe mbalimbali Andrews inesta katika mechi ambayo itachezwa baina ya timu yake ya spain na france

Andres Iniesta, FC Barcelona (Getty)

MANCITY WASHTUKA YAYA TOURE KUONGOZEWA MKATABA

Manchester city wazee wa etihad wameshtuka suala  la mchezaji yahaya toure mua ivory coast huyo kuongeza mkataba wake kuichezea timu hiyo hadi 2015.Suala hiyo limetokana na wawakilisha wa Yahya toure mmoja wapo akiwemo Dimitri Seluk ambaye ni maarufu kwa kuwaunganisha ma superstar wengi na club za ulaya kufosi kuharakikisha mkataba huo kusainia haraka,lakini uchunguzi wa mwanzo unaonyesha kuwa hiyo ni mbinu ambayo inafanywa ili kuwavisha ama kuwa ingiza mjini Man city kwan midfielder huyo kwa sasa ana miaka 29 na itapofika 2015 atafikisha miaka 35 kitu ambacho kitamkosesha soko katika ligi ya england na ulaya kiujumla .Moja ya terms zao za kuongeza mkataba ni kuongezwa kwa mshahara wa wiki wa mchezaji huyo ambaye ni kiungo muhimu kwa sasa wa Mancity kutoka pound £150,000-a-week (€186,000) rising to £220,000-a-week (€272,000) pamoja na bonuses.
Pamoja na kwamba Yahya Toure ni moja ya key players wa Robert Mancini ni bora suala hili tulisubirie hadi msimu ujao maafisa wa Etihad walikaririwa wakisema,mbali na yaya toure wachezaji kama David silva na Vicent copany tayari wameshapewa dili la kuongezewa mikataba yao miaka mitano na sita kila mmoja huku wakiwaacha nyuma wachezaji wenzao toure,Sergio Augulero na Carlos Tevez wao mikataba yao ikiwa bado inajadiliwa.
Chini ya masaa 48 mara Mancity ilipotwaa ubingwa EPL,msimu uliopita Seluk alisikika kwenye redio moja ya kihispain akisema kuwa Toure amefanya mambo makubwa pale etihad anahitaji sasa kuzipata changamoto kubwa ingawa ,atalazimika kuhama kwa thamani ndogo kwenda timu kama chelsea,Beyern Munich na hata Bercelona tungependa wajiunge mpambano huu wa kumnunua Toure "Toure has done all he can do at City and needs new motivations. He would like a new challenge. He would not cost much.

“He could sign for many big clubs, like Chelsea or Bayern Munich. We would like to see Barcelona join the race.”















Yaya Toure of Manchester City

Sunday, October 14, 2012

RAISI KIKWETE AKIWA ENEO LA TUKIO MBAGALA

1 1 Picha: Rais Kikwete atembelea makanisa yaliyoharibiwa kwenye vurugu Mbagala
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia uharibifu uliofanyika katika kanisa la Pentekoste la Mbagala jijini Dar es salaam wakati wa vurugu zilizofanywa na watu wadaodaiwa kuwa Waislamu, kufuatia habari za mtoto kukojolea msaafu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Jakaya Mrisho Kikwete ameenda Mbagala na kutembelea makanisa yaliyoharibiwa na kundi la watu wanaodaiwa kuwa Wailamu, kwenye vurugu zilizosababushwa na habari za mtoto mmoja huko Mbagala Kizuiani kukojolea Msaafu. Zifuatazo ni picha za JK kwenye ziara hiyo akijionea uharibiru uliofanyika.
Picha na IKULU. 
2 Picha: Rais Kikwete atembelea makanisa yaliyoharibiwa kwenye vurugu Mbagala
Mchungaji Alkwin Mbawi akimuonyesha rais Kikwete gari la kanisa la Pentekoste lililovunjwa na kuchomwa moto Mbagala kufuatia vurugu hizo
3 1 Picha: Rais Kikwete atembelea makanisa yaliyoharibiwa kwenye vurugu Mbagala
Katibu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es salaam M Mkosimonga, akimuonyesha rais Kikete uharibifu uliofanywakwenye kanisa hilo
6 Picha: Rais Kikwete atembelea makanisa yaliyoharibiwa kwenye vurugu Mbagala
Uharibifu katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri
4 1 Picha: Rais Kikwete atembelea makanisa yaliyoharibiwa kwenye vurugu Mbagala
Rais Kikwete akionyeshwa uharibifu katika Kanisa la Anglikana
m9 Picha: Rais Kikwete atembelea makanisa yaliyoharibiwa kwenye vurugu Mbagala

Saturday, October 13, 2012

SIJUI KWA NN HII NYIMBO HAIBAMBI SANA KAMA INAVYOTAKIWA


PICHA MBALIMBALI ZIKIONYESHA VURUGU ZA MBAGALA BAADA YA MTOTO KUKOJELEA QURAN

Askari wa kuturiza ghasia wakijitahidi kuwakabili waislam wenye hasira kali walioanzisha furugu maeneo ya Mbagala kufuatia kudhalilishwa kwa dini yao baada ya mtoto wa kidato cha kwanza kukojolea Quran tukufu wakati walipokua ktika mabishano na mwenzake.
Picha na: issamichuzi.blogspot.com