Oh BOY HOW CONFIDENT ? Amesha sema hatagombea UBUNGE ? DR. SLAA alifanya hivyo ?

Au Anataka kugawa Wanachama wa CHADEMA 2015 ILI CCM ISHINDE ?

Itabidi CHADEMA itangaze MGOMBEA URAIS Kama Marekani 1year Prior to the ELECTION...

** Huyu Jamaa Hatari Kweli; Kwenye ile Paper yake ya kutaka Signature za kutokuwa na Imani

Na RAIS; alikwenda kwa wabunge wote wa CCM ambao wanaiuliza Maswali Seriakali yao,

Ili CCM iweze kuwa IMARA.. akahakikisha wote Wa-mesign hiyo Karatasi halafu

Hakuiwakilisha Na Majina akayatoa NJE NJE kuwa ni nani wa CCM alisign hiyo paper

RAIS Karudi; akampa NGUVU rais kuvunja Baraza la Mawaziri halafu kutia DOA

kwa hao wanaCCM ambao ni Wazuri Bungeni kuikosoa serikali yao; Kila NCHI ina

Hao Wanasiasa... ASIYEKUBALI KUKOSOLEWA SIO MWANASIASA...

*** INAONYESHA KAFANYIA KAZI CCM; NA SASA ANATAKA KUIVURUGA CHADEMA.