Friday, September 28, 2012

kinda la miaka 20 davido anunua jumba la kifahari

                davido anunua nyumba mpya

 

 

msanii chipukizi ambaye kwa sasa ndo anakimbiza nigeria katika kudhihirisha matunda au mafanikio ya mziki wake hatimaye amenunua nyumba mpya hii hapa ikionekana katika picha








msanii huyo ameiunga kundi la wasanii wenzake kama don jazzy na iyana kumiliki jumba la kifahari katika ardhi ya matajiri lagos nigeria




 

No comments:

Post a Comment