Friday, December 21, 2012

Mbunge wa Arusha mjini Godbless lema ameshinda rufaa yake ya ubunge.



Habari zilizotufikia hapa mtandaoni kutoka kwa mtu wetu aliyepo mahakamani ni kwamba Mbunge wa Arusha mjini Godbless lema ameshinda rufaa yake ya ubunge.
Rufaa hiyo ilikuwa inasikilizwa mahakama kuu ya rufaa jijini Dar es salaam.Kwa maaana hiyo ni kwamba lema kwa sasa atakuwa mbunge halali wa arusha mjini.

Ikumbukwe lema alisimamishwa ubunge wake kupitia kesi iliyofunguliwa kwamba wakati wa kampeni zake alitoa lugha isisiyotakiwa kwa mgombea wa ccm.

No comments:

Post a Comment