Friday, December 21, 2012

BREAKING NEWZZZZ!!!!!!! LULU WA KANUMBA AACHIWA,X MASS NA MWAKA MPYA UNAKULA URAIANI



BREAKING NEWZZZZ!!!!!!! LULU WA KANUMBA AACHIWA,X MASS NA MWAKA MPYA UNAKULA URAIANI

Msanii wa filamu nchini elizabeth Michael(lulu) ambaye aalikamatwa kwa kosa la mauaji ya Msanii mwenzake Steven kanumba na kesi yake kuchukua muda mrefu sana hadi juzi ilipo ripotiwa kuwa amesomewa mashitaka ya kuua bila kukusudia,

Tetesi hai kutoka mahakamani zinadai kwamba ameachiwa kwa dhamana kwa sababu anahukumiwa kesi ya maaujai bila kukusudia.
Hukumu inayodaliw akutolewa asubuhi hii Tar 21/12/2012 ni kwamba hakimu ameruhusu Lulu kuachiwa kwa dhamana.
Kama ni kweli kwamba Lulu ameachiwa huru ni dhahili X mass na mwaka mpya Lulu atakula akiwa uraiani
TAARIFA KAMILI ZA UKWELI WA HABARI HII KUKUJIA HIVI PUNDE

No comments:

Post a Comment